Login to make your Collection, Create Playlists and Favourite Songs

Login / Register
Taarifa ya Habari 27 Mei 2025
Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

00:16:56
Report
Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.

Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

View more comments
View All Notifications